Posts

Showing posts from November, 2019

KIJIJI CHA KUTISHA KINACHOANDAMWA NA USINGIZI WA KIFO...!

Image
KIJIJI CHA KUTISHA KINACHOANDAMWA NA USINGIZI WA KIFO...!

OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe

Image
OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe Tangu Sudan ipate uhuru mwaka 1956 imekuwa ni nchi ya vuta nkuvute. Full kunyoana nywele bila maji. Waafrika wanachinjana, wachina na wazungu wanakunywa mafuta, halafu vyombo vya habari vinasema tatizo la Sudan ni ukabila wa waarabu kuwabagua weusi kwa sababu ya ukafir wao na sisi tunakubali kama nyumbu vile. Wageni wanatugombanisha kama madume ya ng’ombe kule kwa wafugaji wakati wa mashindano ya wanyama, ng'ombe wanatwangana bila kujua sababu. Akili za ngo’mbe ndo zinatusumbua Afrika. Leo Bashir ametimuliwa Ikulu kama mbwa koko wa Afande Muroto wa Dodoma na wa Sudani kutokwa machozi ya furaha ambayo siku za usoni yatageuka kuwa machozi ya damu! Muda haudanganyi! Unajua kilichomgharimu al-Bashir ni kushindwa kuusoma mchezo mapema na kuishia kuwatemea mate ndugu zake waafrika yakamrudia. Alimtimua kazi na kumtia jela Al- Tulab waliyekuwa naye tangu mapinduzi kwa sababu tu Marekani walimwambia afanye hivyo na ule mwak

Hakuna Rais Aliyekula Bata Dunia Hii Kama Mobutu Sese Seko

Image
Hakuna Rais Aliyekula Bata Dunia Hii Kama Mobutu Sese Seko Aliyekuwa rais wa Kongo,Mobutu Sese Seko ni rais pekee wa Afrika anayedaiwa kujilimbikizia mali nyingi kipindi hicho kiasi kwamba baadhi ya watu kudai kwamba hakuna rais aliyeweza kumfikia hata robo. Historia inaonyesha kiongozi huyu alikuwa tajiri wakutupwa ndani ya ufukara wa kunuka, historia yake inawezakukutia simanzi sana.

HAILE SELASSIE: Mfalme Aliyeuawa Na Kutupwa Chooni!

Image
HAILE SELASSIE: Mfalme Aliyeuawa Na Kutupwa Chooni! Haile Selassie akiwa na umri wa miaka 13 tu, alipewa ukuu wa mgambo, wakati siku hizi kijana wa miaka 30 bado anakula kwao. Haile aliaminiwa kwasababu ya akili nyingi, ingawa kila mtu anaakili isipokuwa tumetofautiana matumizi. Haile alitumia akili kutatua matatizo ndiyo maana mwaka 1947 UK, ilipopigwa Ukame alitoa msaada wa pound 1000. Alipofikisha umri wa miaka 28 alipewa ufalme wa nchi, marastafari wa Jamaica na duniani kote wakasema huyu ndo yule Masiah.

DIKTETA ADOLF HITLER: Kijana katili aliyefeli shule, lakini akatawala Dunia

Image
Adolf Hitler katika maisha yake hasa mwaka 1906 alitamani sana kuwa msanii na alianza kupeleleza nafasi za kusomea uchoraji, na Ilipofika mwaka 1907 aliomba kujiunga katika chuo cha sanaa mjini Vienna, lakini nako alishindwa tena. #HISTORIAYAADOLFHITLER Baada ya Kifo cha Mama yake Desemaba 1907, Hitler aliishi maisha ya kuhama hama na ilipofika Januari 1908, Hitler alianza kutumia urithi wa mama yake aliyefariki kwa ugonjwa wa Saratani kuhamia Vienna alipokaa hadi 1913.

Historia Ya Mwafrika Aliyeuzwa Ulaya Kutokana Na Kuwa Na Makalio Makubwa

Image
Historia Ya Mwafrika Aliyeuzwa Ulaya Kutokana Na Kuwa Na Makalio Makubwa

UCHAWI WA MESSI SI MCHEZO !!!

Image
UCHAWI WA MESSI SI MCHEZO !!!

GAMAL NASSER: Rais Aliyeamini MABAVU Kuliko AKILI!

Image
GAMAL NASSER: Rais Aliyeamini MABAVU Kuliko AKILI! Gamal Abdel Nasser aliongoza mapinduzi ya 1952 yaliyomng'oa madarakani Mfalme Faruk I na kumuweka Jenerali Mohamed Naguib, wakapishana kiitikadi akampindua na kukalia kiti mwenyewe kupambana na Israel badala ya kuijenga Misri na Afrika kama alivyotuamisha kipindi cha mapinduzi, mwaka 70 akafa kifo cha ghafla na kuicha Misri njia panda, wa biblia wakasema alijichanganya kuligusa taifa teule la Mungu maana imeandikwa ukiwagusa utaangamia, ukiwabariki utabarikiwa ameeenii! Enzi za Nasser Misri ilikuwa nyumbani kwa wapigania uhuru wa nchi za Afrika na kiarabu. Nakumbuka hata Saddam Hussein alipewa hifadhi Misri.Ni baada ya jaribio lake la kumpindua Generali Abdul Karim Qassim kufail. Kipindi hicho Saddam alikuwa janki wa miaka 22 tu. Rais Gamal alimpa hifadhi ya kisiasa, pesa ya kujikimu na kumpeleka Cairo University kupiga sheria. Waliosoma naye wanasema mshikaji aliingia darasani kwa manati, muda mwingi aliutumia kula fegi kwa

MAAJABU YA JANGWA LENYE MIUJIZA YA KUTISHA LILILOPO MEXICO

Image
MAAJABU YA JANGWA LENYE MIUJIZA YA KUTISHA LILILOPO MEXICO

HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!

Image
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!

Historia Ya WATANZANIA Waliopigana Vita Ya Dunia/ INASIKITISHA!

Image
Historia Ya WATANZANIA Waliopigana Vita Ya Dunia/ INASIKITISHA!