Hakuna Rais Aliyekula Bata Dunia Hii Kama Mobutu Sese Seko

Hakuna Rais Aliyekula Bata Dunia Hii Kama Mobutu Sese Seko Aliyekuwa rais wa Kongo,Mobutu Sese Seko ni rais pekee wa Afrika anayedaiwa kujilimbikizia mali nyingi kipindi hicho kiasi kwamba baadhi ya watu kudai kwamba hakuna rais aliyeweza kumfikia hata robo. Historia inaonyesha kiongozi huyu alikuwa tajiri wakutupwa ndani ya ufukara wa kunuka, historia yake inawezakukutia simanzi sana.

Comments

Popular posts from this blog