Inasikitisha, Afariki Siku Moja Kabla Ya Harusi Yake.!

Inasikitisha, Afariki Siku Moja Kabla Ya Harusi Yake.!
Stori Kwa Ufupi.! Video hii inaonesha nyumba moja iliyopo jijini Paris ambapo inaelezwa kuwa, kulikua na imani mbalimbali zinazohusu ushirikina katika mazingira ya karibu na nyumba hiyo, na kwamba kila anaeamia katika nyumba hiyi hachukui siku mbili anaama, na kila anae ama anadai mambo anayoyaona katika nyumba hiyo sio mazuri hata kidogo, Sasa jamaa mmoja aliamua kubeba ujasiri na kuweza kutuonyesha yanayotokea katika nyumba hiyo kwa kutegesha kamera ambayo ili rekodi kilakitu


Comments

Popular posts from this blog